Thursday, April 13, 2017

SIMBA YAIBUKA KIDEDEA KATIKA RUFAA YAO DHIDI YA KAGERA SUGAR

Simba wameshinda rufaa yao dhidi ya Kagera Sugar na wamepewa point tatu baada ya kuibainika mchezaji wa kagera Sugar Mohammed Fakhi alicheza mechi ya Simba akiwa na kadi tatu za njano katika michezo dhidi ya Mbeya City, Majimaji, African Lyon hizo ndio mechi ambazo amepata kadi za njano
Hivyo simba inaongoza Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuwa na point 61 ikifuatiwa na waasimu wao yanga wakiwa na point 56

No comments:

Post a Comment