Sunday, February 23, 2014

AJALI MBAYA YA MOTO YATOKEA MIKESE MKOANI MOROGORO LEO ASUBUHI.

 



 Mlipuko mkubwa wakati matenki ya mafuta yakilipuka
Askari wa kikosi cha zimamoto wakijaribu kuuzima moto huo

  Leo asubuhi eneo la Mikese, Morogoro, tumekutana  na ajali  mbaya sana ya magari mawili, moja la mafuta, kugongana uso kwa uso na kutumbukia mtaroni na yote kushika moto. Inasadikiwa mtu mmoja ambaye ni dereva wa magari hayo kateketea kabisa kwa moto. Picha na Peter Laurence

No comments:

Post a Comment