Thursday, September 22, 2011

SEHEMU YA MIJI YETU INAVYOONEKANA KATIKA PICHA ZA ANGA.


Hii ni baadhi ya mitaa katika miji yetu hapa nchini Tanzania,sehemu hii inawakilisha maeneo mengi ambayo maisha ya mtanzania wa kawaida huyaendesha kila siku katika kujitafutia kipato chake cha siku..

Na hii ni kutoka katika mkoa mpya wa NJOMBE mooja ya mikoa mipya inayopatikana hapa nchini kwetu.

No comments:

Post a Comment